Episodes

Monday Feb 07, 2022
Harvest conversations | The book of Jude pt 4 | DCIKZ
Monday Feb 07, 2022
Monday Feb 07, 2022
Harvest conversations | The book of Jude pt 4 | DCIKZ
We continue with our journey through the book of Jude today. If you missed any of the discussions we've had before, feel free to check them out but for now, join the conversation as we learn more about Jude. Grab your Bible and notebook and let's continue this wonderful journey. We are glad you are joining us.

Tuesday Feb 01, 2022
Making Decisions | Bishop Jimmy Kimani | Keys for Living | DCIKZ
Tuesday Feb 01, 2022
Tuesday Feb 01, 2022













Tuesday Feb 01, 2022
Keys for Living - Making Decisions | Bishop Dr. Jimmy Kimani | DCIKZ
Tuesday Feb 01, 2022
Tuesday Feb 01, 2022

Monday Jan 31, 2022
Harvest Conversations | Book of Jude pt 3 | DCIKZ
Monday Jan 31, 2022
Monday Jan 31, 2022
Harvest Conversations | Book of Jude pt 3 | DCIKZ
Our walk through the book of Jude continues. When we began, we looked at the background of the book, basically, who wrote it, when it was written, to whom it was written and why it was written. Last week, we looked at 'Contending for the Faith 101' and we discussed why we need to contend for the faith. Today we go even deeper, so grab your Bible and notebook and let's continue this journey together. We are glad you are joining us.
#HarvestConversations #DCIK_z #GreatCatch #FeelsLikeHome

Tuesday Jan 25, 2022
Harvest Conversations | The book of Jude pt 2 | DCIKZ
Tuesday Jan 25, 2022
Tuesday Jan 25, 2022

Tuesday Jan 25, 2022
Kuweka Msingi Kwa Mavuno Makuu | Ps. Zachary Muriithi | DCIKZ
Tuesday Jan 25, 2022
Tuesday Jan 25, 2022
Pst Zachary Muriithi | Kuweka msingi kwa mavuno makuu | DCIKZ 📌Luke 5:1-10 ✔Kubadili mtazamo wetu katika mambo chache: ✊🏾Tuyaweke kando mawazo ya kale.. {5} Simoni akamjibu, “Bwana, tumekesha usiku kucha tukivua na hatukuambulia kitu cho chote. ✊🏾Jiandae kisikiza na kutii. {5b}Lakini, kwa kuwa wewe umesema,tutazishusha nyavu.” ✊🏾Tujiandae kusoma mambo mapya kila wakati, kila siku. {3b}akamwomba mwenye mashua aisogeze zaidi katika maji. ✊🏾Tuwe na utulivu na kutarajia mambo makuu. {3c} Kisha akakaa kwenye mashua, akaanza kuwafundisha. ✊🏾Tuhusishe wengine katika mambo tunayotenda. {7a} Wakawaashiria wavuvi wa ile mashua nyingine waje kuwasaidia. #TheGreatCatch #Swahiliservice #dcikz #feelslikehome

Tuesday Jan 25, 2022
Keys for Living: Living Honestly | Bishop Jimmy Kimani | DCIKZ
Tuesday Jan 25, 2022
Tuesday Jan 25, 2022









Tuesday Jan 25, 2022
The Practicing Believer: Instructions For Living | Pst. Bryan Mwashigadi | DCIKZ
Tuesday Jan 25, 2022
Tuesday Jan 25, 2022



















Tuesday Jan 25, 2022
Harvest Conversations | Introduction to the Book of Jude | DCIKZ
Tuesday Jan 25, 2022
Tuesday Jan 25, 2022

Tuesday Jan 18, 2022
Wakati Mungu Haajibiki | Rev. Beatrice Waithaka | DCIKZ
Tuesday Jan 18, 2022
Tuesday Jan 18, 2022
Wakati Mungu Haajibiki | Rev. Beatrice Waithaka | DCIKZ
Msisitizo mwingi tumepewa wa kuweka tumaini letu kwa Roho Mtakatifu. Asubuhi ya leo nataka kutengeneza usawa. Bwana Mungu hatalitenda jambo lolote ambalo amekuwezesha kulitenda. Je unajua kwanba kuna wakati Mungu alimkemea Musa kwa sababu ya kumwomba? Kwanini? Kwa sababu kilicho takikana wakati ule sio maombi lakini ni matendo. Kutotenda ni nguvu ambazo zina uwezo wa kusimamisha mtiririko wa mwendo wa Mungu. (Inaction is a force that has the potential of stopping the flow and the move of God). Kutoka 14:15 Mwenyezi – Mungu akamwambia Musa, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele. Mkazo ni kwamba: “ Musa ni ya nini haya maombi ya kijinga na yasiyo ya lazima, unajua lakufanya, ninajua unapenda maombi, lakini huu sio wakati. Ni wakati wa kutenda. Mhubiri 3:1 Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake. Waambie waisraeli wasonge mbele, nyosha fimbo lako na kusema. Usifanye maombi kuwa njia ya kutoroka kwa ajili ya uwoga wa kuchukua hatua. Wapendwa maombi bila matendo yamekufa. Ukifanya kazi, itafanya kazi. Kukamata kubwa ni lazima uajibike kwa sehemu yako naye Mungu alikabidhi kwa sehemu yake. Mtume Paulo akasema katika 1 Wakorintho 9:24-25; Je, hamjui kwamba katika uwanja wa michezo, ingawa wapiga mbio wote hukimbia, ni mmoja tu nayejinyakulia zawadi? Wanariadha hujipa mazoezi na nidhamu kali; hufanya hivyo wajipatie taji iharibikayo! Lakini sisi twafanya hivyo tupate taji isiyoharibika. Kukimbia kwa njia ambayo itakupa tuzo. Mkimbiaji ambaye analenga macho yake kwa taji hahusiki na kasi ambayo wengine wanakimbia, bali anazingatia mbio zake. Labda wewe ni hatua moja tu kwa maisha tofauti, Mabadiliko katika kiwango, Mabadiliko ya hadithi yako, Mwanzo mpya, Wacha kuiahirisha. Je unaogopa nini? Sisi tumezaliwa na aina mbili tu za uoga;
• Hofu ya sauti kubwa
• Hofu ya kuanguka
Hofu zingine zote ni zile tumejifunza na tunaweza kutojifunza (unlearn). Ni wakati wa kugeuza ukurasa. Ni wakati wa kutenda mambo nje ya njia zako au mafikira yako. Ni wakati wa kutojiona duni. Mathayo 11:12 Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenya nguvu wauteka.
• Ni wakati wa kuanza kuchukua hatua. Mungu hangenyosha fimbo lake Musa, Mungu hangewanenea watu kwa niaba yake Musa
• Kijana unataka kufunga ndoa, Mungu hatamnenea yule mwana dada kwa niaba yako. Wacha kukonyeza (winking) macho gizani
• Mungu hatatuma vyeti vyako kwa huyo mkurugenzi
• Mungu hataandika hicho kitabu kwa niaba yako
• Mungu hatatengeneza muziki huo, endelea kuimba peke yako
• Hebu tusikizane miujiza yatendeka lakini sio jambo la busara kutegemea tu.